
1) Papa na Patriarki Aleksandria na wa Afrika mzima m.m.Theodoro wa pili anaonana na Mukantangezi-wa Kongo Mdocta Theologi pale Athina,Padiri Theotimu Tshal Mwin-kwa-Mpemb
Kutoka Padiri Mdocta Theologi Theotimu Kasomb Tshal Mwin-kwa-Mpemb.
Mambo la ufunulo la jangwa la Sahara juu ya Afrika ,vile inakata mipaka kutosha Afrika la juu na Afrika chini la Sahara.Labda,Afrika juu la Sahara ina na waarabu waislamu, lakini Afrika chini la Sahara imebaki kwa wa afrikani weusi wa kweli,hizi mambo la ufunulo tunaitadji tu jifunze.
Fungulo la ufunulo hii ni NENO LA WOKOVU.
Kutoka wakati ule waarabu-islamu walifukuza wa afrikani weusi wenye mgini,awa walitelemuka mpaka chini la Sahara na kudjifungia katika kwabudu sanamu.Hata vile waafrikani weusi hawa kubaki kimia.Wamissionari kutoka Roma na dini la Romakatholika na wengine kutoka udongo la waengleza wenye dini lawa batizadji,walisafiri na kufika Uganda.Mambo njo,wamissionari wa ma dini hizi wakaanza kupigana nvita kwasababu dini tu moja ibaki.Labda,wamissionari wote wale walikuwa WAKRISTIANI. Διαβάστε τη συνέχεια του άρθρου »